Shambulizi la bomu lililovurumishwa na waasi wa M23 laua watoto 2 na mama mmoja #
Kanda ya video hii imepigwa katika Mji wa sake ambao mpaka sasa unashuhudia mashambulizi ya waasi wa M23. Kwa mujibu wa mwandishi wetu Austere Malivika ambaye alitembelea eneo hilo na kuwahoji wananchi kuhusu hali ya vita inayoendelea katika eneo hilo anaripoti Jumapili Watoto wa 2 na mama mmoja wameuwawa kwa bomu lililovurumishwa na waasi wa M23. Katika mahojiano na moja wa mkazi wa eneo hili la milimani anaeleza jinsi bomu lilivyoripuka baada ya kutua katika eneo lao kumjeruhi mtu moja. Wakati huo huo mapigano makali yanasikika yakiendelea kati ya majeshi la serikali ya DRC na waasi wa M23. Endelea kusikiliza...
#goma #kivukaskazini #jimbo #waasi #m23 #raia #makombora #sake #gavana #cirimwani #mejajenerali #voa #voaswahili #milimayasake #austeremalivika
9 May 2024
- Several challenges have been reported since Kenya volunteered to deploy troops in April 2023.
9 May 2024
- The Bomet Central Sub-County Police Boss confirmed the accident.
9 May 2024
- President William Ruto had directed schools to reopen on Monday, May 13.
9 May 2024
- The government has announced that preparations for the upcoming Madaraka Day Celebrations which will be held at the Masinde Muliro Stadium in Bungoma County are almost complete.
9 May 2024
- Majority Leader Kimani Ichung’wah has called upon internal auditors to spearhead efforts in upholding good governance standards
9 May 2024
- KNUT now wants the Ministry of Education to utilize the infrastructure funding within itself to help in rebuilding affected schools ahead of Monday's reopening.
9 May 2024
- EACC detectives on Thursday arrested four traffic police officers for extorting motorists along the Embu-Siakago Road.
9 May 2024
- Deputy President Rigathi Gachagua says the government has set aside Ksh.300 million to help victims of the Mai Mahiu floods get new homes.
9 May 2024
- According to Bomet central sub-county police boss Musa Oma who confirmed the incident, the four were travelling in a saloon car when it was rammed by a lorry in the middle of the bridge, forcing it it into the river.
9 May 2024
- The engagement sought to foster dialogue among all suitable stakeholders with invitees
9 May 2024
- The Azimio co-principal said he will ensure stalled projects in the Kitui are developed.
9 May 2024
- A Senate sitting scheduled for Thursday afternoon has been suspended following a power outage at the Parliament premises.
9 May 2024
- Several challenges have been reported since Kenya volunteered to deploy troops in April 2023.