- 26 viewsRais wa Senegal Macky Sall ametangaza mswaada wa msamaha wa jumla "kwa vitendo vinavyohusiana na maandamano ya kisiasa" yaliyofanyika kati ya mwaka 2021 na 2024. Akizungumza wakati nchi inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa kisiasa, uliochochewa na kuahirishwa uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 25 Februari, Sall anasema mswaada wa msamaha unatokana "na azma ya maridhiano ya kitaifa." #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Rais wa Senegal atangaza uchaguzi kufanyika kabla ya msimu wa mvua kuanza mwaka huu
- 9 May 2024 - Doctors on Wednesday called off their 56-day strike after the government and the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU) signed a return-to-work formula.
- 9 May 2024 - A section of lawmakers have defended President William Ruto from criticism of his promise of Ksh.10,000 for every household displaced by floods in Nairobi County.
- 9 May 2024 - The journey to improve access to menstrual hygiene in Migori has received a boost after the County Government with the support of the partners formulated a menstrual hygiene policy.
- 9 May 2024 - Azimio la Umoja opposition coalition leader Raila Odinga has welcomed the agreement reached by the government and medical workers leading to the calling off of a strike that had paralysed services in public hospitals for 56 days.
- 9 May 2024 - A special unit has been established within the Directorate of Criminal Investigations (DCI) to monitor threats targeted at bloggers on social media.
- 9 May 2024 - Authorities interrupted rescue efforts in flood-ravaged southern Brazil on Wednesday amid more rain and the risk of lightning and stiff winds that threaten to exacerbate a catastrophe that has already killed at least 100 people and left over 163,000…
- 9 May 2024 - Foreign Affairs Principal Secretary Korir Sing’oei has intimated that President William Ruto is set to meet some of the Hollywood top stars during his visit to the United States (US) on May 21, 2024.
- 9 May 2024 - The report listed instances where companies blatantly harvested Kenyans' data without their consent.
- 9 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Chinese President Xi Jinping reiterated his country’s firm stance on the Palestinian-Israeli conflict and the Ukraine cri**s du**ng his joint […]
- - LIVE: Agriculture CS Mithika Linturi's impeachment trial - Day 2