- 119 viewsShirika la hali ya hewa la umoja wa mataifa WMO lilitoa ripoti Jumatano inayoeleza kwamba joto limeongezeka kufikia viwango vya juu havijawahi kushuhudiwa na kuonya nchi za dunia kuchukua tahadhari ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ili kupunguza joto kali duniani. Wimbi la joto kali linakumba kwa wakati huu nchi za Afrika mashariki na Kati na nchi moja wapo Sudan kusini imeamuru shule zote kufungwa kwa wiki mbili kutokana na kuongezeka joto nchini humo. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Dunia yaonywa kuchukua tahadhari kuhusu ongezeko la joto | VOA Swahili
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 14 May 2024 - Reading Time: 2 minutes In a shocking turn of events, a man disowned his biological father in a bitter succession court battle over the […]
- 14 May 2024 - Reading Time: 4 minutes When floods surged and chaos reigned once more, vi*lagers in Kawino South location, Kadibo Sub-County sprang into action gathering what […]
- 14 May 2024 - In total, 34,000 suspected cases have been reported in those areas since October -- more than three times the figure reported a month ago, according to data from the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA), run by Griffiths.
- 14 May 2024 - Reading Time: 2 minutes KCB FC captain Brian Ochieng has said the team is shifting its focus to Gor Mahia after being held to […]
- 14 May 2024 - Reading Time: 2 minutes An International Church Organisation which sponsors a wide range of c*mmunity projects in Kenya has filed an application in the […]
- 14 May 2024 - Reading Time: 2 minutes It is the end of an era for the National Health Insurance Fund (NHIF) after 58 years of financial health […]
- 14 May 2024 - Reading Time: 3 minutes As over 3.5 mi*lion learners were scheduled to resume studies yesterday, over 40 pr*mary and 27 secondary schools across the […]
- 14 May 2024 - Nicodemus Langat Kipgorola appeared before Kabarnet Principal Magistrate Caroline Ateya on Monday and was charged under the Wildlife Conservation and Management Act of 2013.
- 14 May 2024 - Israel battled Hamas in Gaza on Monday, including in far-southern Rafah, despite US warnings against a full-scale invasion of the crowded city and of the threat of post-war "anarchy" across the Palestinian territory.
- 14 May 2024 - German police on Monday opened an investigation after a deep hole was discovered at the grave of former finance minister Wolfgang Schaeuble, who died late last year.