- 3,008 views
Juhudi za kukomesha biashara na uvutaji shisha nchini zimepata pigo baada ya mahakama ya shanzu kuamua kuwa hakuna sheria yoyote nchini inayoharamisha shisha. Hakimu Mwandamizi Joe Omido amesema kuwa marufuku inayotajwa na serikali na Nacada haina msingi wowote kisheria kwani wizara ya afya haikuchukua hatua zilizohitajika kuwasilisha mswada bungeni ili uidhinishwe kuwa sheria kama iliyoagizwa na mahakama mwaka wa 2018. Uamuzi huo ulimfanya hakimu Omido kuwaachilia huru washukiwa 48 waliokamatwa kwa kufanya biashara au kuvuta shisha
Shisha si haramu | Wafanyibiashara na wavutaji shisha wapata afueni
- - Sam's Sense ››
- - Bonyo's Bone ››
- - Kaikai's Kicker ››
- - Yvonne's Take ››
- 16 May 2025 - Magwanga escapes alleged gun attack after death of Kasipul MP
- 16 May 2025 - Gachagua's party joins country's growing special-purpose vehicles
- 16 May 2025 - Somalia training special armed unit to face off with al-Shabaab
- 16 May 2025 - Tower of babel: Security chiefs at odds as Kenya faces mounting threats
- 16 May 2025 - Former top cop Charles Owino provides compelling analogy of how to commit murder
- 16 May 2025 - Private firm to inject Sh12.3b to revive sugar factories
- 16 May 2025 - CMA approves Standard Group's Sh1.5b rights issue
- 16 May 2025 - 24 million Kenyans wear mitumba: Report
- 16 May 2025 - PS Omollo: Homa Bay ready to host Madaraka Day celebrations
- 16 May 2025 - Residents protest neglect of colonial-era DC's office