- 212 views
Katibu wa wizara ya afya Mary Muriuki amewataka madaktari kurejea kwenye meza ya mazungumzo bila vikwazo ili kukwamua mazungumzo ambayo yamesambaratishwa na pande zote mbili kuchukua misimamo sugu. akizungumza kwenye warsha ya siku tatu ya maafisa wa afya nyanjani, Muriuki amesema kuwa serikali imejaribu kutimiza baadhi ya malubaliano kwenye mkataba wa 2017 CBA na kutoa shilingi bilioni 2.4 kufanikisha ajira kwa madaktari wanafunzi 3,700. aidha amesema kuwa pesa hizo zitarejeshwa kwa hazina ya kitaifa iwapo KMPDU itakataa hatua hiyo ya serikali.Muriuki amewataka madaktari kurejea kazini mazungumzo yakiendelea.
Mgomo wa madaktari kufika siku 22
- - Duniani Leo ››
- 17 May 2024 - China's Xi Jinping and Russia's Vladimir Putin on Thursday pledged a "new era" of partnership between the two most powerful rivals of the United States which they cast as an aggressive Cold War hegemon that was sowing chaos across the world.
- 17 May 2024 - Kenya, Uganda to extend oil pipeline from Eldoret to Kampala
- 17 May 2024 - ANC officials downplay talk of dissolution amid significant state appointments
- 17 May 2024 - TSC now threatens to sack intern teachers
- 17 May 2024 - State banks on national database to curb fake certificates crisis
- 17 May 2024 - A Nigerian rights group has launched a petition to stop plans by religious leaders and a state lawmaker to push 100 girls and young women into marriage in a mass ceremony next week, which have sparked outrage in the West African nation.
- 17 May 2024 - President William Ruto plans to spend Sh1.558 billion on the renovation of State Houses and State lodges in the next financial amid dire economic hardships.
- 17 May 2024 - UN report shows wildlife trafficking still rampant
- 17 May 2024 - Compensation row derails Devki plans to build cement factory in Kitui
- 17 May 2024 - UDA steps up bid to solidify support in Homa Bay