Kampeni za uchaguzi Marekani zapambana kupata wapiga kura weusi
Joe Biden na Donald Trump wameshinda uchaguzi wa awali katika vyama vyao kwenye jimbo la Magharibi kati la Wisconsin wiki hii, huku wote wakiwa na uhakika wa uteuzi.
Wagombea hao wanapambana kwa ajili ya kushinda uchaguzi mkuu huko Wisconsin, ni moja ya majimbo yanayoweza kuamua ushindani wa mwaka 2024. Mwandishi wa VOA Scott Stearns anaripoti kuwa kampeni zinafanya kazi kupata uungaji mkono wa wapiga kura weusi huko Wisconsin.
Wapiga kura wa Wisconsin walimchagua Donald Trump mwaka 2016 lakini Joe Biden miaka minne baadaye. Na mara zote ushindani ulikuwa wa karibu. Kwa hiyo, Wisconsin huenda ikaenda upande wowote katika uchaguzi ambao wapiga kura waliokaribia kugawanywa kwa usawa wakigawanya maoni ya umma.
Katika ushindani wa karibu, pande zote zinajaribu kupata mafanikio na wapiga kura wapya.
Kwa Warepublican, hiyo ina maana kujaribu kuingia katika eneo la Wademocrat kihistoria wakiwa ni wapiga kura Weusi, Orlando Owens ni mwenyekiti wa kwanza wa Wamarekani Weusi katika kaunti ya Milwaukee anaeleza haya...
- VOA
#joebiden #donaldtrump #uchaguziwaawali #Wisconsin #kampeni #wapigakura
#watuweusi #voa #voaswahili #scottstearns #afrika
17 May 2024
- The tax will be imposed at a rate of 2.5 per cent of the vehicle's value.
17 May 2024
- The CS also exposed alleged sponsors behind the caucus.
16 May 2024
- Kimani's father had earlier indicated that his son was suffering from bipolar disorder.
17 May 2024
- 23-year-old Maseno University student arrested over alleged rape of two first years
17 May 2024
- The Kenya Development Corporation (KDC) has released Ksh 600 million to support livestock farmers and small enterprises in the agriculture sector in arid and semi arid counties. The funds are expected to help Agriculture Finance Corporation (AFC)…
17 May 2024
- Years after pandemic, it is wiping out livelihoods as well as savings
17 May 2024
- Texas Governor Greg Abbott has pardoned a man convicted of killing a Black Lives Matter protester in 2020. Daniel Perry, an ex-US Army sergeant, was moonlighting as an Uber driver in Austin when he turned on to a street where demonstrators were marching…
17 May 2024
- Detectives said the suspect was on Thursday paraded for identification, and DNA sampling conducted.
17 May 2024
- Tensions - and voices - rose on Thursday as Donald Trump's lawyer hit back against prosecutors, accusing their star witness repeatedly of lying. On the most-tense day yet of cross-examination, Michael Cohen, Mr Trump's former fixer, described talking to…
17 May 2024
- The tax will be imposed at a rate of 2.5 per cent of the vehicle's value.
17 May 2024
- Ambassador Whitman's explanation follows complaints from some Kenyans over denial of visas
17 May 2024
- Says her household items were destroyed and has had to distribute her four children to relatives and friends
17 May 2024
- The commission is seeking to fill 19 vacancies in the Department of Co-operatives