- 546 viewsWakazi wa Marekani wameshuhudia tukio kubwa la kupatwa kwa jua Aprili Nane. Inakadiriwa kuwa watu milioni 32 wanaishi ndani ya njia maalum ambayo mwezi ulilizuia kabisa jua na wakazi wengine milioni 150 wanaoishi chini ya maili 200 (kilomita 320) kutoka ukanda huo, haya ni kwa mujibu wa NASA. Wafanyabiashara wengi walijitokeza kwa matukio maalum na huko Cleveland, ambapo viongozi wa eneo hilo wanatarajia wageni 200,000, Rock & Roll Hall of Fame inapanga "Solarfest" ya siku nne ya muziki wa moja kwa moja. Perryman Group, kampuni ya utafiti yenye makao yake makuu Texas, ilikadiria athari za kiuchumi za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja kutokana na tukio la kupatwa kwa jua kwa mwaka 2024 na inaweza kufikia dola bilioni 6. Mwaka huu watu wanaoishi katika njia maalum yenye upana wa maili 115, pana zaidi kuliko mwaka 2017. Inaanzia magharibi mwa Mexico, kupanda juu. kupitia miji ya Marekani ya Dallas, Indianapolis, na Buffalo, kabla ya kuishia mashariki mwa Canada. Shule nyingi zilizo kwenye njia maalum zitafungwa au kuwaruhusu wanafunzi kutoka mapema, pamoja na huko Cleveland na Montreal. #northamerica #us #mexico #canada #total #solar #eclipse #voaswahili #voa #nasa #NASA #NOAA #jua #mwezi #kupatwa #marekani
Mamilioni ya watu wavutiwa na tukio la kupatwa kwa jua
- 12 Aug 2025 - The operator of Wikipedia on Monday lost a legal challenge to parts of Britain's Online Safety Act, which sets tough new requirements for online platforms and has been criticised for potentially curtailing free speech.
- 12 Aug 2025 - India's top court ordered authorities in the capital Delhi and its suburbs on Monday to relocate all stray dogs to shelters within eight weeks, according to the Live Law website, after media reports of a rise in cases of rabies, especially among…
- 12 Aug 2025 - President Donald Trump said on Monday that his administration is looking at reclassifying marijuana as a less dangerous drug and potentially lower criminal penalties, but no final decision has been made.
- 12 Aug 2025 - Nigerian prosecutors on Monday arraigned five men accused of carrying out a deadly Islamist militant attack on a Catholic church in Owo, in the southwestern Ondo state, that killed at least 50 worshippers in 2022 and wounded over 100 others.
- 12 Aug 2025 - The lakeside town is already abuzz with activity as visitors arrive from across the country, creating a windfall for local businesses and spilling demand into neighbouring counties.
- 12 Aug 2025 - The Police Service Commission, tasked with reforming the process, found itself under intense scrutiny from both civilians and serving officers, with many expressing concerns that the proposed system could disadvantage candidates from marginalized…
- 12 Aug 2025 - Kuppet demands promotion of 130,000 teachers
- 12 Aug 2025 - Letter from SA's Empangeni and lessons on urbanisation
- 12 Aug 2025 - Visually impaired students lead KU to pop glory at music festival
- 12 Aug 2025 - Farmers win round one as court halts duty-free rice importation