Viongozi wa dunia, Afrika wahudhuria kumbukumbu ya mauaji ya kimbari
Rwanda inaadhimisha miaka 30 ya kipindi cha kutisha zaidi katika historia ya taifa hilo ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi walio wachache. Hadi leo hii, makaburi mapya ya halaiki bado yanagunduliwa kote nchini humo kwenye watu milioni 14, jambo ambalo ni ukumbusho wa kusikitisha wa ukubwa wa mauaji hayo.
Rais wa Rwanda Paul Kagame ameongoza hafla ya kumbukumbu ya kusikitisha katika mji mkuu Kigali Jumapili katika maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari. Wageni kutoka nje ya nchi wakiwemo viongozi wa Afrika Kusini, Congo, Ethiopia, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Tanzania, pia Rais wa Israel Isaac Herzog. Marais wa zamani wa Marekani na Ufaransa Bill Clinton na Nicolas Sarkozy walihudhuria pia.
Kagame aliwasha mwenge wa ukumbusho na kuweka shada la maua eneo la viunga vya kumbukumbu ya mauaji hayo ambapo zaidi ya watu 250,000 wanaaminika kuzikwa. - VOA, AP
#rwanda #hakizabinadamu #kigali #paulkagame #voaswahili #mauaji #kimbari #viongozi #africa #dunia
11 Aug 2025
- Special trade agreements between Kenya and the UK allow the export of both goods and labour.
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
12 Aug 2025
- Four reactors at France's Gravelines nuclear power plant were shut down late Sunday due to a swarm of jellyfish in the cooling systems, operator EDF said on Monday, likely due to rising water temperatures because of global warming.
12 Aug 2025
- The operator of Wikipedia on Monday lost a legal challenge to parts of Britain's Online Safety Act, which sets tough new requirements for online platforms and has been criticised for potentially curtailing free speech.
12 Aug 2025
- India's top court ordered authorities in the capital Delhi and its suburbs on Monday to relocate all stray dogs to shelters within eight weeks, according to the Live Law website, after media reports of a rise in cases of rabies, especially among…
12 Aug 2025
- President Donald Trump said on Monday that his administration is looking at reclassifying marijuana as a less dangerous drug and potentially lower criminal penalties, but no final decision has been made.
12 Aug 2025
- Nigerian prosecutors on Monday arraigned five men accused of carrying out a deadly Islamist militant attack on a Catholic church in Owo, in the southwestern Ondo state, that killed at least 50 worshippers in 2022 and wounded over 100 others.
12 Aug 2025
- The lakeside town is already abuzz with activity as visitors arrive from across the country, creating a windfall for local businesses and spilling demand into neighbouring counties.
12 Aug 2025
- The Police Service Commission, tasked with reforming the process, found itself under intense scrutiny from both civilians and serving officers, with many expressing concerns that the proposed system could disadvantage candidates from marginalized…
12 Aug 2025
- Nairobi Hospital suspends price hikes after insurers' outcry
12 Aug 2025
- Cover-ups in prisons deny inmates justice, rights groups warn
12 Aug 2025
- Ojwang's death: Ruto, AG accused of shielding DIG Lagat from justice