- 34 views
Tume ya kuratibu viwango vya mishahara na marupurupu ya watumishi wa umma-SRC inadai kuwa madaktari walihadaiwa na utawala uliopita kusaini mkataba wa maelewano ambao hautekelezeki. Mwenyekiti wa tume hiyo ya SRC, Lyn Mengich amesema ingawa matakwa ya madaktari ni halali, mkataba wa maelewano wa mwaka-2017 hauwezi kutekelezwa na hivyo madaktari wanapasa kurejelea mazungumzo ili kuafikiana kuhusu matakwa yao. Wito wa Mengich umejiri huku waziri wa utumishi wa umma, Moses Kuria akisema ananuia kuwianisha mikataba yote ya maelewano ya vyama vya wafanyikazi ili kuepusha kuvurugwa kwa huduma zinazotolewa kwa wananchi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Tume ya SRC yadai madaktari walihadaiwa kusaini mkataba wa maelewano usiowezakutekelezwa
- 16 May 2024 - A suspected drug trafficker was on Thursday arrested with approximately 100 kilograms of bhang in Nakuru County.
- 16 May 2024 - Fifteen EU states have demanded a further tightening of the bloc's asylum policy, making it easier to transfer undocumented migrants to third countries, including when they are rescued at sea.
- » 'Swahili is a gold coin': Museveni says East Africa not like EU which doesn’t have a common language16 May 2024 - Ugandan President Yoweri Museveni on Thursday challenged East Africans to utilise the shared Swahili language for economic prosperity.
- 16 May 2024 - France deployed troops to New Caledonia's ports and international airport, banned TikTok and imposed a state of emergency on Thursday after three nights of clashes that have left five dead and hundreds wounded.
- 16 May 2024 - The World Health Organization (WHO) has prequalified a new vaccine for dengue.
- 16 May 2024 - Kenya has received 450,000 doses of self-injectable contraceptives in a bid to simplify and enhance the accessibility of family planning among sexually active women.
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Seychelles has endorsed its former Vice President Vincent Meriton to contest for the chairmanship position of the African Union C*mmission (AUC). In a […]
- 16 May 2024 - Warns the decision will lead to high dropout rates among learners.
- 16 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has defended his office’s proposed allocation in the 2024/2025 financial year.
- 16 May 2024 - All the accused were admitted to a bond of Sh10m with one surety of the same amount each