- 34 views
Tume ya kuratibu viwango vya mishahara na marupurupu ya watumishi wa umma-SRC inadai kuwa madaktari walihadaiwa na utawala uliopita kusaini mkataba wa maelewano ambao hautekelezeki. Mwenyekiti wa tume hiyo ya SRC, Lyn Mengich amesema ingawa matakwa ya madaktari ni halali, mkataba wa maelewano wa mwaka-2017 hauwezi kutekelezwa na hivyo madaktari wanapasa kurejelea mazungumzo ili kuafikiana kuhusu matakwa yao. Wito wa Mengich umejiri huku waziri wa utumishi wa umma, Moses Kuria akisema ananuia kuwianisha mikataba yote ya maelewano ya vyama vya wafanyikazi ili kuepusha kuvurugwa kwa huduma zinazotolewa kwa wananchi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Tume ya SRC yadai madaktari walihadaiwa kusaini mkataba wa maelewano usiowezakutekelezwa
- 3 Aug 2025 - Kakamega Senator Boni Khalwale has expressed disappointment over the closure of St Mary’s Mission Hospital in Mumias.
- 3 Aug 2025 - Gunmen kidnapped more than 50 people in northwest Nigeria in a mass abduction, according to a private conflict monitoring report created for the United Nations and seen by AFP on Sunday.
- 3 Aug 2025 - The DP said the ruling party will ensure the will of voters is captured and respected during the UDA primaries.
- 3 Aug 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) Secretary-General Edwin Sifuna has declared that he will leave the party if it chooses to support President William Ruto's re-election bid in the 2027 general election.
- 3 Aug 2025 - Football fans stormed into Kasarani Stadium on Sunday afternoon after hours of waiting in queues ahead of the much anticipated African Nations Championship (CHAN 2024) match between Kenya and DR Congo.
- 3 Aug 2025 - Saudi Arabia has executed eight people in a single day, state media said, amid a surge in the use of the death penalty in the Gulf monarchy particularly over drug-related convictions.
- 3 Aug 2025 - Attendees of the event were urged to return the phone, to no avail.
- 3 Aug 2025 - Austin Odhiambo delivered the only goal of the game.
- 3 Aug 2025 - Kenya beats DR Congo 1-0 in CHAN 2024 opener at Kasarani Stadium, Nairobi, with Austin Odhiambo scoring the winning goal in first half.
- 3 Aug 2025 - They have been appointed as the government seeks to streamline service delivery.