Mnamo Aprili 2014, mji wa kaskazini-mashariki wa Nigeria wa Chibok ulipata umaarufu duniani baada ya kutekwa nyara kwa wasichana 276 wa shule na kampeni ya #bringbackourgirls iliyohusisha watu maarufu duniani .
-
Miaka kumi baadaye, tishio linaloendelea linaloletwa na makundi yenye vurugu bado linadhuru maisha ya watu wengi katika mji huo.
-
''Imepita miaka 10 tangu binti yangu awe mateka na Boko Haram. Haijawahi kuwa rahisi. Watu watasema niendelee, kwamba nina watoto wengine, lakini ninapokuwa peke yangu, ninamfikiria yeye.''
Esther Yakubu anakumbuka jinsi maisha yalivyokuwa magumu bila binti yake Dorcas.
20 Aug 2025
- The pledge took place in a bilateral meeting chaired by Health Cabinet Secretary Aden Duale and his Japanese counterpart Hon. Minoru Kiuchi who serves as the Minister of State for Health Care Policy on the sidelines of TICAD 9 (Tokyo International…
20 Aug 2025
- The event brought together representatives from Shabiki.com, tournament organizers, and members of the golfing community to formalize the partnership ahead of one of Kenya’s most anticipated golfing events.
20 Aug 2025
- Cooperatives and MSMEs Cabinet Secretary Wycliffe Oparanya and his Treasury counterpart John Mbadi have been ordered to appear before the Senate Committee on Labour and Social Welfare on Wednesday after failing to honour earlier summons.
20 Aug 2025
- The case, filed under Petition No. E530 of 2025, is led by Dr. Magare Gikenyi alongside Eliud Karanja Matindi, Philemon Abuga Nyakundi, and Dishon Keroti Mogire.
20 Aug 2025
- To address this, the Africa Group of Negotiators Experts Support (AGNES) has unveiled the first-ever Model Climate Change Law Framework for Africa, designed to guide countries in enacting or strengthening national climate legislation.
20 Aug 2025
- According to Bomet County disaster management officer Stanley Mutai, the victims were harvesting fine sand from rocks that had recently rolled down a cliff when the ground gave way, trapping them inside.