- 73 views
Serikali inanuia kupunguza kiwango cha mishahara ya watumishi wa umma kutoka asilimia-46 hadi asilimia-35 ya bajeti kufikia mwaka-2028. Mkuu wa utumishi wa umma, Felix Koskei amesema serikali haitakubali shinikizo zozote za nyongeza ya mishahara na marupurupu katika sekta ya umma kutokana na mzigo mkubwa wa kiuchumi. Hayo yalijiri huku mwenyekiti wa tume ya kuratibu viwango vya mishahara ya watumishi wa umma-SRC, Lyn Mengich akionya kuwa taasisi yoyote ya serikali itakayoafikia mkataba wa maelewano na vyama vya wafanyikazi sharti iwe na pesa za kutekeleza mkataba huo la sivyo taasisi hiyo haitapokea mgao kutoka kwa serikali. Giverson Maina na taarifa kamili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Koskei: Hakuna nyongeza ya mishahara na marupurupu
- 16 May 2024 - A suspected drug trafficker was on Thursday arrested with approximately 100 kilograms of bhang in Nakuru County.
- 16 May 2024 - Fifteen EU states have demanded a further tightening of the bloc's asylum policy, making it easier to transfer undocumented migrants to third countries, including when they are rescued at sea.
- » 'Swahili is a gold coin': Museveni says East Africa not like EU which doesn’t have a common language16 May 2024 - Ugandan President Yoweri Museveni on Thursday challenged East Africans to utilise the shared Swahili language for economic prosperity.
- 16 May 2024 - France deployed troops to New Caledonia's ports and international airport, banned TikTok and imposed a state of emergency on Thursday after three nights of clashes that have left five dead and hundreds wounded.
- 16 May 2024 - Kenyans often buy vehicles out on auctions because of the prices.
- 16 May 2024 - Collaboration seeks to elevate standards of ICT and marketing
- 16 May 2024 - Kihika is required to give a report on the status of healthcare in Nakuru County
- 16 May 2024 - About 1.2 billion people in Africa still lack access to clean cooking facilities
- 16 May 2024 - Ruto continued to drum up support for Raila's AUC bid as he faces new hurdle .
- 16 May 2024 - It disbursed Sh200 million everyday via Mco-op Cash.