- 2,151 views
Wakenya watapata afueni kwa kiasi baada ya kampuni ya Kenya Power kupunguza gharama ya nguvu za umeme. Hii ikimaanisha kuwa, bili za umeme zitapungua kwa takriban asilimia 14 kuanzia mwezi huu Kwenye taarifa, Kampuni hiyo imesema hatua hii imesababishwa na kuimarika kwa shilingi ya Kenya na kupungua kwa gharama ya mafuta yanayotarajiwa kuzalisha umeme. Hii sasa ikimaanisha kuwa wakenya wanaotumia chini ya uniti 30 za umeme watalipa shilingi 629 mwezi huu, ikilinganishwa na shilingi 729 za mwezi jana. Wale wanaotumia zaidi ya uniti 31 hadi 100 za umeme sasa watapata afueni ya asilimia 11.2, huku wanaotumia zaidi ya uniti mia moja wakilipa gharama ya chini kwa asilimia 9.7
Kenya Power yapunguza gharama ya stima Aprili
- 18 May 2024 - Police in Ugunja, Siaya County are investigating the death of a 35-year-old man whose body was found hanging in his rented house within Ugunja town on Saturday morning.
- 18 May 2024 - The United Democratic Alliance (UDA) party is conducting its second phase of grassroots election in all the 40 wards within Homa Bay County today (Saturday).
- » Implementation committee conducts port tour to assess revenue optimisation in grain handling services18 May 2024 - The Committee on Implementation in the National Assembly has learnt that the Kenya Ports Authority still relies on one grain bulk handler 32 years since the handler docked at the port. The Committee chaired by Budalang’i legislator Raphael Wanjala was…
- 18 May 2024 - A US Supreme Court justice faced calls on Friday to recuse himself from cases involving Donald Trump after an inverted American flag -- a symbol of the former president's false election fraud claims -- was flown outside his home.
- 18 May 2024 - Kindiki stated that forging close working relations would further play a critical role towards improving the welfare of the men and women in uniform.
- 18 May 2024 - The Government has committed over Sh3.7bn to help in this situation.
- 18 May 2024 - South Africa ends deadly building collapse rescue
- 18 May 2024 - Ghana urges Senegal's new leader to help in ECOWAS disputes
- 18 May 2024 - FKF-PL: Gor Mahia eyes record extending 21st title as relegation battle heats up
- 18 May 2024 - The closure will begin from Saturday to Monday.