Kenya yalalamika kuhusu Tanzania kutoa vibali kwa michezo ya shabaha
Tanzania na Kenya nchi majirani Afrika Mashariki kila mmoja anasimamia makundi ya tembo kwa njia tofauti. Kenya ina msimamo wa kutovumilia kabisa uwindaji wa wanyama pori na uuzaji wa pembe za ndovu huku ikipata mapato yake kwa watalii wanaokuja nchini kutazama wanyama hao. Lakini Tanzania inatoa leseni za uwindaji kwa wanaofanya hivyo kama michezo ya kulenga shabaha kila mwaka. Je, wito wa Kenya kuitaka Tanzania kuwawekea wawindaji wake mipaka kama njia ya kuwalinda Tembo wa Kenya itafaulu? Ungana na mwandishi wetu akukuletea ripoti kamili kuhusu kadhia hiyo. Endelea kusikiliza...
#tanzania #kenya #tembo #uwindaji #utalii #afrikamashariki #pembe #ndovu #mapato #uwindaji #shabaha #wito #michezo #voa #voaswahili
2 Jul 2025
- All affected drivers must register individually for the training.
2 Jul 2025
- Last month, Mbadi said the government will borrow over Ksh900 billion to finance the Ksh4.2 trillion budget.
2 Jul 2025
- As of April, 140,000 affordable housing units were completed across different counties in the country.
3 Jul 2025
- President Donald Trump announced Wednesday that he had struck a trade deal with Vietnam under which the country would face a minimum 20 percent tariff and open its market to US products.
3 Jul 2025
- Prof Kindiki told MPs last year he would effect the regulations to contain protests.
3 Jul 2025
- Anger as Passaris seeks to keep public away from Parliament
3 Jul 2025
- Ex-MCA files petition to remove Sakaja over gross misconduct
3 Jul 2025
- Tears flow for slain teacher as kin eulogise Ojwang' at solemn mass
3 Jul 2025
- Logistics firm Express Kenya unveils Sh13b real estate project
3 Jul 2025
- Teachers' pay deal talks stall as unions push for higher salaries and allowances
3 Jul 2025
- Gen Z steal 'maandamano' thunder from Raila, but will they keep the fire?
3 Jul 2025
- Opposition raises concerns amid fears of plans to scuttle 2027 polls
3 Jul 2025
- How developers can navigate funding challenges