- 309 views
Kamati ya bunge ya ulinzi na maswala ya kigeni imekataa kuidhinisha uteuzi wa Charles Githinji Keiru kama balozi wa Kenya katika Jamhuri ya DRC baada ya kukamilisha shughuli ya kuwahoji walioteuliwa na Rais kuwakilisha kenya katika mataifa mbali mbali. Kamati hiyo inayoongozwa na mbunge Nelson Koech iliwaidhinisha wengine wote 25 waliofika mbele yake. Hata hivyo ilikataa kupitisha jina la Keiru kwa kukosa kuwa na taarifa yoyote kuhusu taifa ambalo anapasa kuhudumu. Katika ripoti ya kurasa 89 tume hiyo pia iliwaidhinisha wengine watatu licha ya maswali kuibuka katika kikao cha kuwahoji.
Kamati ya maswala ya kigeni imekataa kumuidhinisha Keiru
- 16 May 2024 - Nairobi residents have been urged to exercise caution following the sighting of three lions roaming in Lang’ata.
- 16 May 2024 - Kenya and Uganda have signed a tripartite agreement allowing Uganda’s state oil firm to import her petroleum products through Kenya.
- 16 May 2024 - General Sumbeiywo spoke to the media at a Nairobi hotel after all stakeholders signed an agreement to participate in the mediation process. He emphasised the importance of embracing a spirit of compromise.
- 16 May 2024 - A suspected drug trafficker was on Thursday arrested with approximately 100 kilograms of bhang in Nakuru County.
- 16 May 2024 - Fifteen EU states have demanded a further tightening of the bloc's asylum policy, making it easier to transfer undocumented migrants to third countries, including when they are rescued at sea.
- 16 May 2024 - In this Newsletter, we are covering Yoweri Museveni's first address alongside Ruto during his State Visit and the agreement they entered.
- » 'Swahili is a gold coin': Museveni says East Africa not like EU which doesn’t have a common language16 May 2024 - Ugandan President Yoweri Museveni on Thursday challenged East Africans to utilise the shared Swahili language for economic prosperity.
- 16 May 2024 - Pool tables, amusement parks, and betting shops have been targeted by the proposed laws.
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes President Wi*liam Ruto has hailed the relations between Kenya and Uganda du**ng a meeting with President Yoweri Museveni at State […]
- 16 May 2024 - Gachagua's latest push has seen him come under sharp criticism from a section of the UDA camp.