- 43 views
Waziri wa habari, mawasiliano na uchumi dijitali Eliud Owalo sasa analitaka bunge kuudhibiti mtandao wa kijamii wa TikTok badala ya kuupiga marufuku. Akiongea alipofika mbele ya kamati ya bunge kuhusu malalamishi, Owalo alisema kupiga marufuku mtandao huo kutawanyima mamilioni ya vijana mapato ya kila siku na kusababisha kuondoka kwa wawekezaji wengi kutoka sekta ya kibinafsi wanaohudumu kupitia mfumo wa dijitali. Baadhi ya wabunge hata hivyo wana wasiwasi iwapo serikali ina uwezo wa kudhibiti maudhui kabla ya kuchapishwa kwenye mtandao huo wa TikTok.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Owalo asema mtandao wa Tiktok unatoa nafasi za ajira kwa vijana
- 16 May 2024 - General Sumbeiywo spoke to the media at a Nairobi hotel after all stakeholders signed an agreement to participate in the mediation process. He emphasised the importance of embracing a spirit of compromise.
- 16 May 2024 - A suspected drug trafficker was on Thursday arrested with approximately 100 kilograms of bhang in Nakuru County.
- 16 May 2024 - Fifteen EU states have demanded a further tightening of the bloc's asylum policy, making it easier to transfer undocumented migrants to third countries, including when they are rescued at sea.
- » 'Swahili is a gold coin': Museveni says East Africa not like EU which doesn’t have a common language16 May 2024 - Ugandan President Yoweri Museveni on Thursday challenged East Africans to utilise the shared Swahili language for economic prosperity.
- 16 May 2024 - France deployed troops to New Caledonia's ports and international airport, banned TikTok and imposed a state of emergency on Thursday after three nights of clashes that have left five dead and hundreds wounded.
- 16 May 2024 - The election taking place in Nairobi, Homa Bay and 3 other counties is slated for Saturday.
- 16 May 2024 - Onyancha narrated how he operated as a taxi driver by day and car robber by night.
- 16 May 2024 - Kenyans often buy vehicles out on auctions because of the prices.
- 16 May 2024 - Collaboration seeks to elevate standards of ICT and marketing
- 16 May 2024 - Kihika is required to give a report on the status of healthcare in Nakuru County