- 26 views
Kenya imejitolea kuimarisha uhusiano wake wa kibiashara na Korea Kusini katika juhudi za kupiga jeki nafasi za biashara na uchumi katika mataifa haya mawili. Rais William Ruto aliyekutana na mjumbe maalum wa rais wa Korea Kusini pamoja na naibu waziri wa kwanza wa mashauri ya nchi za kigeni nchini humo, Hong Kyum Kim, katika ikulu ya Nairobi alikariri thamani ambayo taifa hili linaweka katika ushirikiano wake na Korea Kusini. Alisema ushirikiano huo unalenga kustawisha taasisi za mafunzo ya kiufundi na anuwai-TVET humu nchini na sekta za afya ya umma, maji, usafi pamoja na teknolojia ya habari na mawasiliano.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kenya na Korea Kusini kuimarisha mahusiano
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2024 - The Office of the Director General for Health in a letter to public county health officers and copied to the Kenya Bureau of Standard says the Sherehe GSM maize flour is unfit for human consumption.
- 16 May 2024 - Nineteen people have been detained at Siaya Police Station following their arrest at a chang’aa den on charges of being drunk and disorderly.
- 16 May 2024 - A middle-aged man was on Wednesday evening electrocuted to death in the Ulanda area of Awendo, Migori County.
- 16 May 2024 - A 22-year-old man on Thursday morning escaped death by a whisker after his house burnt in a suspected arson incident at Abom village in Bondo, Siaya County.
- 16 May 2024 - Nigeria's headline consumer inflation accelerated to a new 28-year high in April, hitting 33.69% year-on-year, up from 33.20% in March, statistics agency data showed on Wednesday.
- 16 May 2024 - The determination exposes Boeing to a potential criminal prosecution.
- 16 May 2024 - Biden aides think debates could hurt Trump by exposing his positions on key issues.
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya’s tea should be branded to increase its visibility in the g****l market so as to help fetch the best […]
- 16 May 2024 - Ambassador Meg said the meeting would be good for engagements between the two countries
- 16 May 2024 - Dozens of countries sign up for Ukraine peace summit, Switzerland says