- 1,392 views
Wasimamizi wa kampuni ya kutengeneza mbolea ya KEL Chemicals sasa wanadai kuwa baadhi ya maafisa wakuu serikalini waliwalazimisha na kuwashinikiza kukiri kuwa walisambaza mbolea ghushi nchini. Afisa mkuu wa operesheni kwenye kampuni hiyo amesema kuwa alikamatwa na kuzuiliwa kwa muda baada ya mkutano uliohusisha wasimamizi wakuu serkalini kutibuka katika afisi ya rais. Aidha, maafisa wa kiwanda hicho ambao wamekana kwamba kampuni hiyo ilihusika na utengenezaji na usambazaji wa mbolea ghushi, wamedai kwamba kulikuwa na njama ya kulazimisha afisa mkuu wa kiwanda hicho kubeba lawama za sakata hiyo
Wakuu wa KEL Chemicals wadai kutishiwa na serikali
- 15 May 2024 - The National Assembly’s Committee on National Administration and Internal Security is now advocating for new passport applications to be processed within a three-day timeframe.
- 15 May 2024 - Joe Biden and Donald Trump agreed Wednesday to hold presidential debates in June and September after the Democratic incumbent challenged his rival to "make my day" and the scandal-plagued Republican replied he was ready to "rumble."
- 15 May 2024 - Cases of harassment and debt shaming by digital lenders have plummeted by 75% since 2022, Data Protection Commissioner, Immaculate Kassait has revealed.
- 15 May 2024 - Roads and Transport CS Kipchumba Murkomen has said that the government will require about Ksh.30 billion to repair all roads damaged by floods nationwide.
- 15 May 2024 - Premier League clubs will vote on whether to scrap video assistant referees (VAR) from next season.
- 15 May 2024 - The office of the Deputy President is now seeking Ksh.1.12 billion to enable renovations at both his Harambee Annex office and Karen residence.
- » Prime CS Mudavadi seeks additional budgetary allocations to strengthen Foreign and Diaspora Affairs15 May 2024 - The Prime Cabinet Secretary and Cabinet Secretary for Foreign and Diaspora Affairs emphasized the imperative to operationalize newly approved foreign missions, essential for expanding Kenya’s diplomatic footprint and fostering closer ties with…
- 15 May 2024 - A 45-year-old man has been sentenced to 50 years behind bars for defiling his eight-year-old nephew in Malindi, Kilifi County.
- 15 May 2024 - They say the move will help reduce land grabbing
- 15 May 2024 - Senate rejected a Bill by the National Assembly that stipulates the roles of the two Houses to end the fights