- 86 views
Viongozi wa kisiasa kutoka kwa serikali na upinzani, wameendelea kumiminika nyumbani kwake aliyekuwa mkuu wa majeshi Jenerali Francis Ogolla, kuifariji familia yake. Rais William Ruto, kinara wa azimio raila odinga pamoja na viongozi wengine, walifika kwa familia ya ogolla wakati tofauti. Wakati huohuo, muungano wa azimio unataka uchunguzi wa kina ufanywe, kubaini kilichosababisha kuanguka kwa ndege iliyomuua Jenerali Ogolla pamoja na maafisa wengine wanane waliokuwa pamoja naye hiyo jana.
Viongozi wa kisiasa kutoka kwa serikali na upinzani wafariji familia ya mkuu wa majeshi Ogolla
- 6 Aug 2025 - Pres. Ruto faults ‘strained bilateral ties with some friendly nations to Kenyas growing trade ties with China, amid reports that the country risks losing its major US non-NATO ally status.
- 6 Aug 2025 - They demanded counties' immediate actions.
- 6 Aug 2025 - They further issued a statement assuring the public that normal operations at the Mombasa based point of entry will not be interrupted with updates to follow as the situation unfolds.
- 6 Aug 2025 - The changes seek to streamline the process.
- 6 Aug 2025 - President William Ruto has fired back at Hustler Fund critics, saying that his policies are based on well-informed strategies and he will not welcome sentiments from naysayers.
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
- 6 Aug 2025 - Since it was turned over to Kenya, the railway service has been declining.
- 6 Aug 2025 - The tournament will take place days after the conclusion of the Africa Nations Championships (CHAN).
- 6 Aug 2025 - The matter is scheduled to return on September 8, 2025.
- 6 Aug 2025 - The notice is critical for future tax payments.