- 453 views
Jenerali Francis Ogolla ameenziwa kama mtu aliyejitolea ,aliyependa taifa na kazi yake na mnyenyekevu. Wakizungumza wakati wa hafla ya kijeshi ya kumpa heshima zake za mwisho, wengi wamemtaja kama mtu aliyeishi maisha ya kupigiwa mfano, asiyetaka makuu na mwenye bidii. Rais William Ruto ameahidi kuanzisha mikakati ya kununua vifaa vya kisasa vya kijeshi ili kuepuka mikasa kama uliopelekea kifo cha Ogolla na maafisa wengine wa KDF. Kinara wa Azimio Raila Odinga hata hivyo ametaka uchunguzi wa kina cha mkasa kufanyika mara moja ,akimtaja mwendazake kama shujaa wa taifa.
Rais Ruto aongoza wanajeshi katika hafla ya kumpa heshima Jenerali Francis Ogolla
- » 'We won't allow Gachagua to be mistreated,' Governor Kahiga says amid Kenya Kwanza fallout rumours19 May 2024 - Nyeri Governor Edward Mutahi Kahiga has hinted at a possible rift within the ruling Kenya Kwanza alliance.
- 19 May 2024 - Foreign Affairs Principal Secretay Korir Sing'oei has intimated that the plan to deploy its Kenyan police officers to war-torn Haiti is in its final stages.
- 19 May 2024 - The incident has sparked outrage among the local community. Angry family members, led by the deceased’s aunt Sicily Wangu, and Kiandai villagers stormed Kianyaga police station, demanding an explanation for the shooting.
- 19 May 2024 - President William Ruto's four-day visit to the United States will see him observe a packed itinerary as he attempts to champion for more investments in Kenya.
- 19 May 2024 - The media had been awash with speculation on the DP's absence from the limelight pointing towards his alleged falling out with the President.
- 19 May 2024 - The residents decried that they had been promised economic transformation within 100 days but close to two years after the elections, the region had nothing to smile about.
- 19 May 2024 - Foreign Affairs Mimistry said the officers will depart in the “next few weeks” even as sources insist they will leave this week.
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3
- 19 May 2024 - Gachagua expected to fight back after week of silence amid attacks
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute