- 145 views
Kiza bado kimetanda kuhusiana na mgomo wa madaktari nchini, huku maafisa wakuu wa chama cha madaktari wakisusia mkutano uliopaniwa kutia saini mkataba wa kusitisha mgomo huo jana mchana. Kwenye mkutano na wanahabari baada ya saa za kusubiri, mawaziri na magavana waliokuwa kwenye mkutano huo wameafikia kuwapa madaktari muda hadi leo mchana kuafikia mkataba huo. Kwa mujibu wa pande zote mbili, yote yaliafikiwa kwenye mkutano wa pamoja wa Jumapili isipokuwa swala la malipo na kutumwa kwa madaktari wanafunzi. Haya yanajiri huku maafisa kliniki wakijiandaa kufanya maandamano makubwa katika barabara tofauti za jiji la Nairobi hii leo.
Wawakilishi wa KMPDU wakosa kufika kwenye kikao
- - Duniani Leo ››
- 5 Aug 2025 - A Brazilian judge on Monday placed former president Jair Bolsonaro under house arrest for breaking a social media ban, escalating a dramatic standoff between the court and the politician, who is accused of plotting a coup.
- 5 Aug 2025 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has apprehended Tiktoker Shedrack Omondi Okindo, alias Hon. Mosquito, in connection with an inciting video that was widely circulated on TikTok.
- 5 Aug 2025 - The U.S. could require bonds of up to $15,000 (approximately Ksh.1,938,150 for some tourist and business visas under a pilot program launching in two weeks, a government notice said on Monday, an effort that aims to crack down on visitors who overstay…
- 5 Aug 2025 - A five-day specialized training course titled "Countering Terrorism Financing and Money Laundering - Foundational Level" begun in Nairobi on Monday.
- 5 Aug 2025 - Before joining President William Ruto's cabinet on April 17, 2025, Geoffrey Ruku was a needle in the political haystack, but since he joined Cabinet, he has become one of the most visible figure with his tough enforcement of the the law by civil servants.
- 5 Aug 2025 - Hundreds of thousands of people under siege in the Sudanese army's last holdout in the western Darfur region are running out of food and coming under constant artillery and drone barrages, while those who flee risk cholera and violent attacks.
- 5 Aug 2025 - The United States and Rwanda have agreed for the African country to accept up to 250 migrants deported from the U.S., the spokesperson for the Rwandan government and an official told Reuters, as President Donald Trump's administration takes a hardline…
- 5 Aug 2025 - The officer was said to be in a relationship with one of the women.
- 5 Aug 2025 - The Authority clarified that the collection process is free of charge.
- 5 Aug 2025 - Unemployed youth are transforming into skilled agri-preneurs and essential service providers.