- 75 views
Wabunge wa muungano wa Azimio la Umoja wameitaka serikali ifanye uchunguzi wa wazi kuhusu ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha mkuu wa kdf jnerali francis ogolla na wanajeshi wengine tisa alhamisi wiki jana. Wakizungumza baada ya mkutano hii leo, wabunge hao walitangaza kuwa wataanzisha uchunguzi bungeni ili chanzo cha ajali kiwekwe wazi huku wakizitaka familia za wanajeshi waliofariki pamoja na ya Ogolla ziwakilishwe katika uchunguzi huo.
Wabunge wa Azimio waitaka serikali ifanye uchunguzi wa wazi kuhusu ajali ya ndege
- - Duniani Leo ››
- 13 Aug 2025 - A UK town applied for a High Court injunction on Tuesday to stop asylum seekers being housed in a local hotel, following protests, some of which turned violent.
- 13 Aug 2025 - Europe's car exporters are still struggling with uncertainty over U.S. tariffs despite last month's trade deal, Wallenius Wilhelmsen, the operator of one of the world's largest car-carrier fleets, told Reuters on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - The Sh2.9 billion project began in 2019 during former President Uhuru Kenyatta’s administration.
- 13 Aug 2025 - Mr Gachagua is attempting to establish a narrative that the world should prepare for an opposition victory in 2027.
- 13 Aug 2025 - Why State has abandoned plans for Sh468b Nairobi-Mombasa expressway
- 13 Aug 2025 - Governors on trial as graft claims tarnish 12 years of devolution era
- 13 Aug 2025 - How Sh360.5m was siphoned from Afya Sacco
- 13 Aug 2025 - UK tycoon Veevers to be buried after 11 years
- 13 Aug 2025 - Ruto is not empowering youth; he is manipulating them with fake mercy
- 13 Aug 2025 - House team wants BATUK deal halted over rights abuses