- 44 views
Rais William Ruto aliungana na raia wa Tanzania kuadhimisha miaka 60 ya muungano kati ya iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Zanzibar. Hafla hiyo iliyoandaliwa na rais Samia Suluhu Hassan ilifanyika katika uwanja wa kitaifa wa Uhuru, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wengine wa nchi na serikali kutoka Jumuiya ya maendeleo ya eneo la Kusini mwa Afrika na Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kisha Rais Ruto ataelekea nchini Zimbabwe kwa ziara rasmi ya siku mbili. Ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kisiasa, kiuchumi, kijamii na kitamaduni kati ya nchi hizo mbili. Akiwa nchini Zimbabwe Rais Ruto atakuwa mgeni wa heshima katika maonesho ya 64 ya kimataifa ya biashara ya Zimbabwe huko Bulawayo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Rais Ruto ahudhuria sherehe nchini Tanzania
- » 'We won't allow Gachagua to be mistreated,' Governor Kahiga says amid Kenya Kwanza fallout rumours19 May 2024 - Nyeri Governor Edward Mutahi Kahiga has hinted at a possible rift within the ruling Kenya Kwanza alliance.
- 19 May 2024 - Foreign Affairs Principal Secretay Korir Sing'oei has intimated that the plan to deploy its Kenyan police officers to war-torn Haiti is in its final stages.
- 19 May 2024 - The incident has sparked outrage among the local community. Angry family members, led by the deceased’s aunt Sicily Wangu, and Kiandai villagers stormed Kianyaga police station, demanding an explanation for the shooting.
- 19 May 2024 - President William Ruto's four-day visit to the United States will see him observe a packed itinerary as he attempts to champion for more investments in Kenya.
- 19 May 2024 - The media had been awash with speculation on the DP's absence from the limelight pointing towards his alleged falling out with the President.
- 19 May 2024 - The residents decried that they had been promised economic transformation within 100 days but close to two years after the elections, the region had nothing to smile about.
- 19 May 2024 - Foreign Affairs Mimistry said the officers will depart in the “next few weeks” even as sources insist they will leave this week.
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3