- 19 views
Rais William Ruto amemwagiza waziri wa leba Florence Bore kuongoza mchakato wa kuongeza kiwango cha chini cha mishahara ya wafanyikazi kwa angalau asilimia sita kutokana na mchango wao muhimu katika ujenzi wa taifa. Rais aliyasema haya wakati sherehe za 59 za siku kuu ya leba katika bustani ya Uhuru jijini Nairobi alipokuwa akijibu ombi la katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyikazi-COTU Francis Atwoli ambaye alikuwa akiomba nyongeza ya asilimia 22.5 ya kiwango cha chini cha mishahara ya wafanyikazi ili kuwakinga kutokana na hali ngumu za kiuchumi. Giverson Maina anatuarifu zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais aagiza mashauriano ya nyongeza ya 6% ya kiwango cha chini cha mishahara ya wafanyikazi
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - First, deeply religious Saudi Arabia opened its doors to Western raves and music festivals. Now it's turning to long-neglected Saudi traditions as it seeks to draw tourists and reshape its national identity.
- 17 Aug 2025 - Gaza residents will be provided with tents and other shelter equipment starting from Sunday ahead of relocating them from combat zones to the south of the enclave "to ensure their safety," the Israeli military said on Saturday.
- 17 Aug 2025 - Hundreds of thousands of Libyans are voting Saturday in the second phase of municipal elections, held under tight security after incidents and irregularities forced delays at several stations.
- 17 Aug 2025 - Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
- 17 Aug 2025 - A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
- 17 Aug 2025 - Harambee Stars midfielder Marvin Nabwire has opened up about the emotional toll of receiving a red card during
- 17 Aug 2025 - A critical shortage of nurses in public hospital newborn units is undermining Kenya’s efforts to provide quality care
- 17 Aug 2025 - The incident led to an hours-long traffic snarl-up.
- 17 Aug 2025 - Many in Lesotho have been laid off and are now struggling
- 17 Aug 2025 - 33 ward reps vote to remove county chief, against 14, as leadership wrangles deepen.