Maisha karibu na mgodi wa kobalti unaomilikiwa na Wachina nchini DRC
Christophe Kabwita anaishi umbali wa mita 500 tu kutoka katika mgodi unaomilikiwa na China ukichimbwa madini ya cobalt, nyenzo muhimu kwa uchumi wa kijani.
Anasema mgodi huo wa wazi, unaharibu maisha ya watu kwa kutumia vilipuzi kulipua mwamba huo mara mbili au tatu kwa wiki.
Ving'ora vya tahadhari hupigwa wakati ulipuaji unapokaribia kuanza, kama ishara kwa kila mtu kuacha anachofanya na kujificha.
Bw.Kabwita na wanakijiji wengine wamefichua hali mbaya ya maisha yao, iliyovurugwa na milipuko na uchafuzi wa mazingira ambao wanasema unasababishwa na mgodi huo.
#bbcswahili #DRC #mgodi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- This comes just days after President Ruto announced a high-level meeting between the party and Kenya Kwanza.
18 Aug 2025
- Both sides of the road were completely blocked.
17 Aug 2025
- Jay-Z and David Beckham have both been spotted rocking the brand.
18 Aug 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged residents of Rift Valley to rally behind President William Ruto in his bid for a second term, arguing that his performance has dwarfed that of his predecessors.
18 Aug 2025
- Five suspects are awaiting arraignment after being found in possession of bhang and other stolen items after a crackdown in Kakamega.
18 Aug 2025
- In Egypt's Wadi al-Gemal, where swimmers share a glistening bay with sea turtles, a shadowy tourism deal is threatening one of the Red Sea's last wild shores.
18 Aug 2025
- US President Donald Trump said reclaiming Crimea or entering NATO were off the table for Ukraine, as President Volodymyr Zelensky arrived in Washington for Monday's talks aimed at ending the war with Russia.
18 Aug 2025
- Trapped in a broken system, county workers are denied treatment as insurance scams flourish unchecked.
18 Aug 2025
- Murang’a County Senator Joe Nyutu has revealed that it is President William Ruto who gives MPs money to
18 Aug 2025
- Journalist Dennis Okari has voiced concerns over the functionality of the Social Health Authority (SHA), suggesting that the
18 Aug 2025
- Trump said an agreement should be struck to end the 42-month-long war.
18 Aug 2025
- What's your body telling you in the morning?
18 Aug 2025
- This comes just days after President Ruto announced a high-level meeting between the party and Kenya Kwanza.