- 6,077 views
Siku mbili baada ya serikali kutoa tahadhari ya mafuriko kwa wakaazi wanaopakana na mabwawa yaliyo kwenye hatari ya kuvunja kingo, bwawa la Masinga sasa limejaa pomoni. Kulingana na taarifa iliyochapishwa hii leo, bwawa hilo limenakili viwango vya juu zaidi katika historia kufuatia ongezeko la mvua humu nchini. Haya yanajiri huku naibu rais Rigathi Gachagua akibaini kuwa serikali itatoa takriban shilingi bilioni 1.2 kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko
Mabwawa ya Seven Forks, yameendelea kujaa kwa kasi
- 1 Jun 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arrested key officials of the National Industrial Training Authority (NITA) over alleged involvement in a corruption scandal.
- 1 Jun 2024 - President William Ruto on Saturday issued a stern warning to land grabbers, highlighting their negative impact on Kenya's development goals.
- 1 Jun 2024 - Junior Secondary School teachers have signed a return to work formula to end their three-week strike.
- 1 Jun 2024 - NTSA noted that the reforms would help them address the rising concerns among stakeholders.
- 1 Jun 2024 - President William Ruto has announced that Kenya will in future shift away from importing shoes and instead focus on bolstering local footwear manufacturing.
- 1 Jun 2024 - Current vaccine stocks will last for just one month, leaving children unprotected
- 1 Jun 2024 - Hamas said it views the proposal "positively".
- 1 Jun 2024 - By integrating digital tools and resources into curricula, students are prepared for the future job market.
- 1 Jun 2024 - The reduced prices are expected to be a huge boon for farmers on account of projected increased productivity.
- 1 Jun 2024 - The election commission has pencilled in a final results announcement for Sunday.