Polisi wavamia Chuo Kikuu cha Columbia kutokana na maandamano
Mamia ya waandamanaji wamekamatwa wakati wa operesheni ya usiku katika Chuo Kikuu cha Columbia huko New York City.
Waandamanaji wanaounga mkono Palestina walikuwa wametawala jengo la chuo hicho hapo awali.
Idara ya Polisi ya New York inasema jengo na hema lililokuwa chuoni hapo limesambaratishwa.
Wakati huo huo, waandamanaji wanaounga mkono Israel walikabiliana na waandamanaji katika kambi zinazounga mkono Palestina huko Los Angeles, saa chache baada ya polisi kutawanya maandamano ya huko New York.
Vyuo vikuu vya Marekani vimekuwa na maandamano huku wanafunzi wakidai kususia makampuni na watu binafsi wenye uhusiano na Israel wakati wa vita huko Gaza.
#bbbcswahili #marekani #gaza Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- This comes just days after President Ruto announced a high-level meeting between the party and Kenya Kwanza.
18 Aug 2025
- Both sides of the road were completely blocked.
17 Aug 2025
- Jay-Z and David Beckham have both been spotted rocking the brand.
18 Aug 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged residents of Rift Valley to rally behind President William Ruto in his bid for a second term, arguing that his performance has dwarfed that of his predecessors.
18 Aug 2025
- Five suspects are awaiting arraignment after being found in possession of bhang and other stolen items after a crackdown in Kakamega.
18 Aug 2025
- In Egypt's Wadi al-Gemal, where swimmers share a glistening bay with sea turtles, a shadowy tourism deal is threatening one of the Red Sea's last wild shores.
18 Aug 2025
- US President Donald Trump said reclaiming Crimea or entering NATO were off the table for Ukraine, as President Volodymyr Zelensky arrived in Washington for Monday's talks aimed at ending the war with Russia.
18 Aug 2025
- Trapped in a broken system, county workers are denied treatment as insurance scams flourish unchecked.
18 Aug 2025
- Murang’a County Senator Joe Nyutu has revealed that it is President William Ruto who gives MPs money to
18 Aug 2025
- Journalist Dennis Okari has voiced concerns over the functionality of the Social Health Authority (SHA), suggesting that the
18 Aug 2025
- Trump said an agreement should be struck to end the 42-month-long war.
18 Aug 2025
- What's your body telling you in the morning?
18 Aug 2025
- This comes just days after President Ruto announced a high-level meeting between the party and Kenya Kwanza.