- 130 views
Wito umetolewa kwa wenyeji wa kaunti ya Garissa kuwachagua wanawake katika uchaguzi mkuu ujao kwa nia ya kubadili mkondo wa kisiasa kwa jamii ya wafugaji ambayo haitambui uongozi wa wanawake. Katika mkutano ulioandaliwa na shirika moja lisilo la kiserikali la Eco Africa na kuleta pamoja wazee wa jamii hiyo, vijana na viongozi wanawake, ilibainika Kwa changamoto kubwa kwa kina mama kutoka maeneo ya wafugaji ni mila potovu inayowanyima nafasi katika uongozi ilhali wana uwezo wa kuongoza. Ukosefu wa elimu ya kutosha na hamasisho kuhusu haki zao za kidemokrasia pia yamechangia kuongeza vikwazo kwa wanawake wanaojitosa kwenye ulingo wa siasa.
Jamii ya wafugaji Garissa yashauriwa kuwapigia kura wanawake
- 5 May 2024 - At approximately 8 p.m., Vancouver Police were dispatched to an apartment located in the 4000 block of Northeast 109th Street concerning a three-year-old child. According to law enforcement, the child had experienced a drug overdose, and the grandmother…
- 5 May 2024 - The Kenyan Coast region is projected to receive moderate to heavy rainfall despite the weakening of Cyclone Hidaya which was expected to hit the Coast region this weekend.
- 5 May 2024 - The number of people killed by flooding and other impacts of the heavy rains battering Kenya has risen to 228, the interior ministry said on Sunday.
- 5 May 2024 - In videos circulating on social media, especially Facebook and WhatsApp, Chadian civilians say they need a leadership change and an end to what they call a Deby dynasty.
- 5 May 2024 - The Nairobi City Water and Sewerage Company has announced that there will be intermittent water supply within Nairobi County.
- 5 May 2024 - The United Kingdom, through the British High Commission in Nairobi has announced an emergency funding of over Ksh.140 million to support flood relief efforts in Kenya.
- 5 May 2024 - Traffic flow at Ahero Bridge along the Kisumu Nairobi highway has resumed after water levels caused by the swelling of river Nyando were reduced.
- 5 May 2024 - The demolition is to pave way for the expansion of the Masinde Muliro stadium.
- 5 May 2024 - Flooding worsens in Kisumu after River Nyando breaks its banks, affecting Ahero, Muhoroni and parts of Nyakach.
- 5 May 2024 - The budget has been made at a time when Ruto's administration is rolling out austerity measures.