- 30 views
Mgomo wa madaktari umeingia wiki ya nane huku kukiwa hakuna makubaliano ,na madaktari wakiendelea kusisitiza kuwa hawatatia saini hati ya kurejea kazini . Makubaliano kati ya pande hizo mbili yalitarajiwa kuwasilishwa katika mahakama ya kushughulikia masuala ya leba Jumatatu asubuhi. Hata hivyo, mazungumzo ya jana hayakuzaa matunda, huku serikali na chama cha madaktari wakitofautiana. Na kama vile mwanahabari wetu Kasichana Masha anavyotuarifu, huku serikali ikisema imeshughulikia masuala yote muhimu, madaktari wana mtazamo tofauti.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Madaktari wameendelea kusisitiza kuwa hawatatia saini hati ya kurejea kazini
- - | Diaspora Connect | ››
- 24 Aug 2025 - DCP's interim office holders, save for Deputy Party Leader Cleophas Malala, have remained largely colourless.
- 24 Aug 2025 - Human rights lawyers and activists have sued the government of Eswatini for making a secretive deal with President Donald Trump's administration to accept third-country deportees from the U.S., which they claim was unconstitutional.
- 24 Aug 2025 - At least 15 people sustained injuries on Saturday, August 23, 2025, following a road traffic accident involving a
- 24 Aug 2025 - Nominated Senator Karen Nyamu set social media abuzz after sharing stunning photos from Jubilee-nominated Member of Parliament (MP)
- 24 Aug 2025 - A Gambian man who was part of an armed unit run by former dictator Yahya Jammeh and was convicted of torture by a U.S. jury in April has been sentenced to more than 67 years in prison, the U.S. Justice Department, opens new tab said on Friday.
- 24 Aug 2025 - A family in Nairobi’s Pipeline estate is reeling after the brutal murder of their kin, killed in cold blood by her husband.
- 24 Aug 2025 - President's charade on Parliamentary bribery is distraction from self guilt
- 24 Aug 2025 - Goons paradise: Thuggery thrives while the State watches in silence
- 24 Aug 2025 - Experts deployed to boost Ruto Mt Kenya popularity
- 24 Aug 2025 - Why Ruto, MPs standoff over graft is good news for Kenyans