- 152 views
Gavana wa Kilifi Gideon Mung'aro ametishia kuhamisha zaidi ya miili mia nne ya waliofariki msituni shakahola kutoka hospitali ya Malindi hadi hospitali ya kitaifa ya Kenyatta (KNH) kufuatia harufu kali na gharama kubwa ya umeme. Mung'aro ameipa serikali ya kitaifa hadi jumatatu kuhamisha miili hiyo la sivyo atatekeleza tishio hilo. Kulingana naye, kaunti imegharamika shilingi milioni 36 za umeme bila ya usaidizi katika kuhifadhi miili hiyo.
Gavana Mung'aro atishia kuhamisha zaidi ya miili mia nne ya waliofariki msituni shakahola
- - | Diaspora Connect | ››
- 24 Aug 2025 - Kenya is facing a critical test of its health system after the United States paused foreign assistance in
- 24 Aug 2025 - Police yet to issue a formal statement on the cause of the crash.
- 24 Aug 2025 - The new appointments come amid a raft of appointments by President Ruto.
- 24 Aug 2025 - Tanzanian music artiste Rayvanny has shared insights into the power of strategic collaborations, citing Diamond Platnumz as a
- 24 Aug 2025 - Smoke, daggers, and secrets: What Ruto's graft war on MPs reveals
- 24 Aug 2025 - No one is safe in this goons paradise, thriving courtesy of a police service that looks the other way whenever the political class unleash their gangsters.
- 24 Aug 2025 - The hospital management will take legal action after a 14-day lapse.
- 24 Aug 2025 - Stepping into university or college is one of the most exciting and transformative periods in any student’s life.
- 24 Aug 2025 - Eyes on Zurich as Team Kenya posts mixed results in Brussels
- 24 Aug 2025 - Why DPP Ingonga is weak link in fight against corruption