- 82 views
Sekta ya afya iliyo taabani bado haijapata tiba kwani mgogoro kati ya madaktari na serikali ungali unaendelea. Muungano wa madaktari nchini, KMPDU umesusia kutia saini mkataba wa kurudi kazini. katika mkutano na kamati ya kitaifa ya kutatua mgogoro, ambao uliendelea hadi usiku wa manane, tuhuma na majibu kutoka pande zote yalisababisha kusimama kwa mazungumzo. KMPDU Inasisitiza kuwa mgomo bado unaendelea huku ikiishutumu serikali kwa kukataa kutoa muda wa kutekeleza ahadi zake na kushughulikia masuala yaliyoangaziwa katika notisi ya mgomo
Mazungumzo ya serikali na madaktari yakwamia katika utiaji saini
- - | Diaspora Connect | ››
- 24 Aug 2025 - Kenya is facing a critical test of its health system after the United States paused foreign assistance in
- 24 Aug 2025 - Police yet to issue a formal statement on the cause of the crash.
- 24 Aug 2025 - The new appointments come amid a raft of appointments by President Ruto.
- 24 Aug 2025 - Tanzanian music artiste Rayvanny has shared insights into the power of strategic collaborations, citing Diamond Platnumz as a
- 24 Aug 2025 - No one is safe in this goons paradise, thriving courtesy of a police service that looks the other way whenever the political class unleash their gangsters.
- 24 Aug 2025 - The hospital management will take legal action after a 14-day lapse.
- 24 Aug 2025 - Stepping into university or college is one of the most exciting and transformative periods in any student’s life.
- 24 Aug 2025 - Eyes on Zurich as Team Kenya posts mixed results in Brussels
- 24 Aug 2025 - Why DPP Ingonga is weak link in fight against corruption
- 24 Aug 2025 - Kenyans wrestle back overall East Africa gong from Ugandans