- 498 views
Mashirika ya kutetea haki za binadamu yanataka uchunguzi wa kina kufanyika kufuatia kifo cha mwanamke wa miaka thelathini kutoka Kibwezi kaunti ya Makueni aliyepotea kwa njia tatanishi na mwili wake kupatikana katika chumba cha kuhifadhi maiti cha Mutomo kaunti ya Kitui. Mwili wa Nuru Akbar aliyepotea tarehe 29 machi mwaka huu ulipatikana katika mto athi katika eneo la Kiaoni kwenye mpaka wa kaunti za Makueni na Kitui ukiwa na majeraha. mshukiwa mkuu ambaye inadaiwa kuwa mumewe marehemu, Gideon Muthami ametiwa mbaroni na anazuiliwa katika kituo cha kibwezi
Kifo cha mwanamke wa miaka thelathini kutoka Kibwezi kaunti ya Makueni
- - | Diaspora Connect | ››
- 24 Aug 2025 - Kenya is facing a critical test of its health system after the United States paused foreign assistance in
- 24 Aug 2025 - Police yet to issue a formal statement on the cause of the crash.
- 24 Aug 2025 - The new appointments come amid a raft of appointments by President Ruto.
- 24 Aug 2025 - Tanzanian music artiste Rayvanny has shared insights into the power of strategic collaborations, citing Diamond Platnumz as a
- 24 Aug 2025 - No one is safe in this goons paradise, thriving courtesy of a police service that looks the other way whenever the political class unleash their gangsters.
- 24 Aug 2025 - The hospital management will take legal action after a 14-day lapse.
- 24 Aug 2025 - Stepping into university or college is one of the most exciting and transformative periods in any student’s life.
- 24 Aug 2025 - Eyes on Zurich as Team Kenya posts mixed results in Brussels
- 24 Aug 2025 - Why DPP Ingonga is weak link in fight against corruption
- 24 Aug 2025 - Gen Zs must join political parties ahead of 2027