- 733 views
Asilimia 49 ya wakazi wa Nairobi wangempigia kura mgombea wa urais wa Azimio Raila Odinga iwapo uchaguzi ungefanyika leo. Hii ni kulingana na utafiti wa kampuni ya Infotrak . Kulingana na utafiti huo naibu rais ambaye ni mgombea wa Kenya Kwanza William Ruto angepigiwa kura na asilimia 30 ya wakaazi wa Nairobi, huku asilimia tano wakimuunga mkono mgombea wa Roots party George Wajakoyah. Katika kinyanganyiro cha ugavana Johnson Sakaja anaongoza kwa asilimia 39, Polycarp Igathe akiwa wa pili na asilimia 33 na kufuatwa na Agnes Kagure aliye na asilimia 0.4. Edwin Sifuna ana umaarufu katika kinyanganyiro cha Seneta jijini akiongoza kwa asilimia 44 na kufuatwa kwa karibu na Margaret Wanjiru aliye na asilimia 12. Kando na umaarufu wa kisiasa asilimia 73 ya wakazi wa Nairobi wanahisi kuwa taifa haliendi katika njia sawa. Utafiti uliofanywa tarehe 2 na tatu mwezi huu uliwahusisha wakazi 1,024 wa kaunti ya Nairobi .
Raila, Karua waongoza kwa umaarufu wa urais jijini Nairobi
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - UDA National Executive Committee deletes provision for three deputy leaders.
- 4 May 2024 - The tree was a major tourist attraction.
- 4 May 2024 - Medics walk out of meeting after refusing to sign the return to work formula.
- 4 May 2024 - Heavy rains battering Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul have killed 31 people, local authorities said on Friday, and the death toll is expected to rise as dozens still have not been accounted for.
- 4 May 2024 - At least nine people, including seven children, were killed on Friday in a strike at a displacement camp in the eastern Congolese city of Goma, a local official and a military spokesman said.
- 4 May 2024 - Coast braces for strong winds and powerful waves
- 4 May 2024 - Ruto snubs Machogu, postpones reopening of schools
- 4 May 2024 - Cyclone Hidaya might be kind on Kenya but prepare for more rains
- 4 May 2024 - Court blocks senators' Sh500m oversight fund, calls for new rules
- 4 May 2024 - Confusion in Kenya Kwanza ranks worrying