- 118 views
Kaunti ya Kirinyaga imetangaza kuwapa walimu chekechea ECDE ajira ya kudumu yenye pensheni . Kwa mujibu wa gavana wa kaunti hiyo Anne Waiguru, mpango huo utawafaidi walimu 420 ambao wamekuwa wakihudumu chini ya kandarasi kwa miaka mitatu sasa. Akizungumza kwa niaba ya serikali ya kaunti hiyo, waziri wa elimu wa Kirinyaga James Kinyua Mutugi, amesema kuwa mpango huo unaanza mara moja katika mwezi huu. Kinyua alikuwa akihutubia walimu wa chekechea katika chuo cha mafunzo anuwai cha vijana cha Kaitheri.
Kaunti ya Kirinyaga yawapa walimu wa chekechea ECDE ajira ya kudumu
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - Heavy rains battering Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul have killed 31 people, local authorities said on Friday, and the death toll is expected to rise as dozens still have not been accounted for.
- 4 May 2024 - At least nine people, including seven children, were killed on Friday in a strike at a displacement camp in the eastern Congolese city of Goma, a local official and a military spokesman said.
- 4 May 2024 - Court blocks senators' Sh500m oversight fund, calls for new rules
- 4 May 2024 - Confusion in Kenya Kwanza ranks worrying
- 4 May 2024 - Big challenge of our democracy is not longer terms for leaders
- 4 May 2024 - Floods are the world's wake-up call to craft proactive responses
- 4 May 2024 - Coast braces for strong winds and powerful waves
- 4 May 2024 - Ruto snubs Machogu, postpones reopening of schools
- 4 May 2024 - Cyclone Hidaya might be kind on Kenya but prepare for more rains
- 4 May 2024 - Tropical Cyclone Hidaya is expected to hit the country any time from the Indian Ocean with strong winds experienced for the better part of Friday evening.