- 1,241 views
Wakati huu ambapo wagonjwa wengi wanataabika kwa kukosa huduma za matibabu kwenye hospitali za umma kufuatia mgomo unaoendelea, afueni inatokana na wauguzi ambao wamejitolea huhakikisha wagonjwa wanapata huduma za msingi.miongoni mwa wauguzi hao ni Velma Tonui anayehudumu katika hospitali ya rufaa ya longisa.mwanadada huyu ambaye kwa wakati mmoja aligonga vichwa vya habari akiwa Londiani ndiye anayetupambia makala yetu ya Mwanamke Bomba hii.
Mwanamke Bomba | Velma Tonui anajitolea kutoa huduma za matibabu
- 24 Jun 2025 - According to intercepted communications by our Journalist, shared with top security organs and select diplomatic missions, details an “imminent asymmetric threat” aimed at using the chaos
- 24 Jun 2025 - Woman seeks justice after land deal with policeman turns sour
- 24 Jun 2025 - Let's pray for a Wednesday of peace and justice not bullets or tear gas
- 24 Jun 2025 - Court dismisses sacked Siaya County clerk case
- 24 Jun 2025 - Police, civilians to face murder trial over fatal assault of teacher Ojwang
- 24 Jun 2025 - State cracks down on harmful pesticides, bans 77 products
- 24 Jun 2025 - Judge blasts ARA for 'copy pasting affidavits, shoddy investigations'
- 24 Jun 2025 - How zero-tariff will fix Kenya-China trade imbalance
- 24 Jun 2025 - Treasury's quiet shift from grand Finance Bills to piecemeal amendments
- 24 Jun 2025 - Agnes Kagure loses court battle for Sh600 million Karen property