- 48 views
Licha ya tangazo la idara ya utabiri wa hali ya anga kwamba hakuna tishio la kimbunga Hidaya kukumba pwani ya Kenya na kuthibitisha kwamba kilikumba pwani ya Tanzania, shughuli za kawaida kwenye fuo nyingi jijini Mombasa bado hazijarejelewa. Uchunguzi uliofanywa na runinga ya KBC channel 1 kwenye ufuo wa umma wa Jomo Kenyatta jijini Mombasa ulionyesha maafisa wa polisi wakishika doria kwenye fuo na kuwazuia umma kuingia humo licha ya marufuku dhidi ya shughuli za fuoni yaliyowekwa na waziri wa usalama wa kitaifa Kithure Kindiki kufikia kikomo usiku wa manane. Wafanyabiashara wanaotekeleza shughuli zao kwenye ufuo huo pia hawawezi kutekeleza shughuli zao. Wanalalamikia kuendelea kukosa mapato hali ambayo wanasema itaathiri vibaya biashara zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakazi Mombasa bado wana wasiwasi wa kimbunga Hidaya
- 2 Jun 2024 - Ugenya MP David Ochieng’ has warned President William Ruto that his greatest opponent in Nyanza in 2027 will not be Azimio leader Raila Odinga or his ODM party but service delivery.
- 2 Jun 2024 - During the stop, a traffic police officer boarded the vehicle and, according to the report, directed the driver to the Kasarani Police Station.
- 2 Jun 2024 - Donald Trump has warned that it could prove to be a "breaking point" for his supporters if he is sentenced to prison or house arrest following his historic criminal conviction.
- 2 Jun 2024 - South Africa's once dominant African National Congress acknowledged that it had been humbled by an election that ended its 30-year majority but vowed not to replace President Cyril Ramaphosa as a condition to forming a new governing coalition.
- 2 Jun 2024 - Governor Nathif Jama said that the facility will go along way in reducing the high maternal mortality rate and stillbirths.
- 2 Jun 2024 - The project targets to empower up to 120,000 youth in ASAL regions on farming activities.
- 2 Jun 2024 - The Kenya rugby sevens team,Shujaa beat Germany 33-15 in their promotion play off in Madrid,Spain.The win secured Kenya a place in next season’s HSBC World Sevens series. Shujaa led 12-10 at half time thanks to tries from Vincent Onyala and Chrisant…
- 2 Jun 2024 - President William Ruto to depart for a second trip to Korea this evening, to follow-up and finalise on previous agreements with President Yoon Suk Yeol.
- 2 Jun 2024 - “We cannot allow a few people to profiteer at the expense of our people."
- 2 Jun 2024 - He said any form of instability will cost Kenyans a lot in terms of progress and prosperity.