- 25 views
Mawaziri kadhaa, maafisa wa ngazi za juu serikalini na maafisa wengine kutoka mashirika mbali mbali ya serikali walishiriki katika shughuli za upanzi wa miche ya miti maeneo mbalimbali nchini hii leo, katika juhudi kuhakikisha serikali inaafikia lengo lake la asilimia 30 ya eneo la misitu hapa nchini kufikia mwaka 2032. Shughuli hiyo ya kitaifa ya upanzi wa miche kwenye maeneo yasiyo na miti pamoja na kuimarisha mfumo wa ikolojia, ilitekelezwa pia kwa nia ya kuwakumbuka zaidi ya wakenya 200 waliopoteza maisha yao kutokana na mafuriko hapa nchini. Hivi ndivyo shughuli hii ilivyotekelezwa katika sehemu mbali mbali za taifa hili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Upanzi wa Miti I Viongozi washiriki kupanda miche nchini
- 24 Aug 2025 - The Deputy President promised accelerated development in the region in collaboration with the leaders, highlighting projects worth billions of shillings ongoing in different parts of the area.
- 24 Aug 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has lauded Harambee Stars for fighting hard to the quarter finals in the ongoing CHAN tournament, promising full support for upcoming games.
- 24 Aug 2025 - Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development, and Special Programs, Geoffrey Ruku, has reaffirmed the government's commitment to its development agenda, stating that President William Ruto remains focused on delivering tangible…
- 24 Aug 2025 - Ukraine launched a drone attack on Russia on Sunday, forcing a sharp fall in the capacity of a reactor at one of Russia's biggest nuclear power plants and sparking a huge blaze at the major Ust-Luga fuel export terminal, Russian officials said.
- 24 Aug 2025 - Several users expressed concern after noting changes in how their phone operates.
- 24 Aug 2025 - Residents living near the Malaba and Malakisi rivers in Teso North sub-county, Busia County, are counting losses after their crops were swept away by floodwaters following days of heavy rainfall in the region.
- 24 Aug 2025 - The land will be used solely for the training of the college students and other related services.
- 24 Aug 2025 - Nandi Hills MP Bernard Kitur has called for urgent constitutional amendments ahead of the 2027 General Election, arguing
- 24 Aug 2025 - 7 of the companies were cleared to import, roast and package coffee for export markets.
- 24 Aug 2025 - Sifuna and Babu Owino said intimidation and threats would not deter them from speaking out.