- 324 views
Waathriwa wa maporomoko ya ardhi pamoja na wakazi wa Ngutu huko Mathioya kaunti ya Murang'a wamepelekewa huduma za kurejeshewa stakabadhi muhimu walizopoteza kama vitambulisho na vyeti vya kuzaliwa. Zoezi hili liliongozwa na afisa mkuu wa shirika la Ahadi Kenya daktari Stanley Kamau chini ya shirika la HUDUMA MASHINANI. Kamau aliwasihi jamaa za waliofurushwa kwao na mvua au maporomoko ya ardhi kuwapa hifadhi ya muda wakati wanaendelea kujenga makao mapya. Kamau alikuwa akizungumza na waathiriwa maporomoko yaliyouwa watu sita mwezi Aprili katika shule ya msingi ya Ngutu.
Waathiriwa wa maporomoko ya ardhi Mathioya wasajiliwa ili kupewa stakabadhi muhimu upya
- 30 Apr 2025 - President William Ruto has praised the increased contributions to the National Social Security Fund (NSSF) as a step toward the country’s financial security.
- 30 Apr 2025 - High Court Judge Bahati Mwamuye has declared a protest ban issued by former Nairobi Police Commander Adamson Bungei during the 2024 anti-tax demonstrations illegal and unconstitutional.
- 30 Apr 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the order in a case filed by the Law Society of Kenya (LSK), which had petitioned the court following the killing of Rex Masai during a protest.
- 30 Apr 2025 - The explosion in generative AI since the advent of ChatGPT has seen several startups launch apps focused on exchange and contact, sometimes described as virtual friends or therapists that communicate according to one's tastes and needs.
- 30 Apr 2025 - He said the region is willing to forgo the two top positions in favour of Matiang’i’s presidential candidacy.
- 30 Apr 2025 - Interior CS Kipchumba Murkomen reiterates government's commitment to support security officers to tackle security challenges.
- 30 Apr 2025 - NAIROBI, Kenya Apr 30 – Retired Commissioner of Police Michael Mbugua and two co-accused persons have been granted cash bail of 100,000 Shillings each in a case where they are charged with the murder of a farmhand. The prosecution says the deceased is…
- 30 Apr 2025 - The High Court has barred the Inspector General of Police from deploying officers in civilian clothes or with concealed identities to manage public protests in the country.
- 30 Apr 2025 - Retired Commissioner of Police Michael Mbugua and two co-accused persons have been granted cash bail of Ksh.100,000 each in a case where they are charged with the murder of a farmhand.
- 30 Apr 2025 - Currently, only the ELC has jurisdiction to enforce compensation from occupational accidents.