- 207 views
Wakulima ambao hawajapokea mbolea ya kutandaza wanaitaka serikali kuwalipa fidia kwa hasara wanaotazamia kwa madai kuwa mavuno ya mwaka huu yatapungua. Wakulima hao kutoka kaunti ya Trans Nzoia wanasema kuwa waliathirika na mbolea ghushi wakati wa upanzi na hadi sasa hawajapata kunyunyizia mahindi yao mbolea ya kutandaza kwani mbolea hiyo hazipatikani. Sasa wanasema iwapo mbolea hio itazidi kuchelewa, mimea yao itafifia mashambani. Katibu katika wizara ya kilimo paul rono anasema mbolea hiyo itawafikia wakulima katika muda wa wiki mbili zijazo.
Wakulima Trans Nzoia wataka walipwe fidia ya mbolea ghushi
- 30 Apr 2025 - President William Ruto has praised the increased contributions to the National Social Security Fund (NSSF) as a step toward the country’s financial security.
- 30 Apr 2025 - High Court Judge Bahati Mwamuye has declared a protest ban issued by former Nairobi Police Commander Adamson Bungei during the 2024 anti-tax demonstrations illegal and unconstitutional.
- 30 Apr 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the order in a case filed by the Law Society of Kenya (LSK), which had petitioned the court following the killing of Rex Masai during a protest.
- 30 Apr 2025 - The explosion in generative AI since the advent of ChatGPT has seen several startups launch apps focused on exchange and contact, sometimes described as virtual friends or therapists that communicate according to one's tastes and needs.
- 30 Apr 2025 - The project included the rehabilitation of five crude oil tanks for the storage of Automotive Gas Oil (AGO).
- 30 Apr 2025 - He said the road will be built in a Nairobi Expressway-like funding model
- 30 Apr 2025 - Their grievances include delayed implementation of career progression guidelines.
- 30 Apr 2025 - He said previously, with Sh200 monthly contributions, Kenyans saved Sh320bn in 60 years.
- 30 Apr 2025 - Warring communities are fighting for control of areas they believe contain oil, geothermal energy or precious minerals
- 30 Apr 2025 - How scenic Nyambene became a cattle rustlers' paradise where locals live in perpetual fear