Jukwaa ka mikutano ya kisiasa limeporomoka na kuua watu watu tisa na kujeruhi darzen #short #shorts
Takriban Watu tisa wameuawa na wapatao 50 kujeruhiwa baada ya upepo mkali kusambaratisha jengo kubwa la tamasha inakofanyika mikutano ya kisiasa huko Mexico, Jumatano.
Picha zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zimeonyesha madhara yaliyotokea punde baada ya jukwaa kuanguka, watu wakikimbia na kupiga kelele wakati upepo mkali ukipiga
Shiria la habari la Reuters liliweza kulinganisha picha ya eneo hilo kwa kuangalia video za vyombo vya habari vya ndani vilivyokuwepo katika na eneo la tukio zilizopostiwa na mgombea umeya wa San Pedro Garza Garcia, Lorenia Canavati katika mtandao wa kijamii.
Shirika la habari liliweza kuthibitisha tarehe ya picha hizo kutoka maktaba ya Metadata.
Jorge Alvarez Maynez, mgombea urais wa chama cha Centrist Citizens' Movement, alisema upepo mkali ulisababisha jukwaa kuporomoka wakati wa mkutano wa kampeni katika jiji la San Pedro Garza Garcia, eneo tajiri karibu na kitovu cha Monterrey.
#mexico #rally #stage #collapse #deaths #injuries #voaswahili
15 May 2025
- Gunshots were fired during Gachagua's event on Thursday.
15 May 2025
- The highway will help address the prevalent congestion along the major highway.
15 May 2025
- This comes after the court ordered the accused to be remanded at the Industrial Area Prison until Monday, May 19,
16 May 2025
- Somalia training special armed unit to face off with al-Shabaab
16 May 2025
- Tower of babel: Security chiefs at odds as Kenya faces mounting threats
16 May 2025
- Former top cop Charles Owino provides compelling analogy of how to commit murder
16 May 2025
- Private firm to inject Sh12.3b to revive sugar factories
16 May 2025
- CMA approves Standard Group's Sh1.5b rights issue
16 May 2025
- 24 million Kenyans wear mitumba: Report
16 May 2025
- PS Omollo: Homa Bay ready to host Madaraka Day celebrations
16 May 2025
- Residents protest neglect of colonial-era DC's office
16 May 2025
- PSC distances itself from UoN leadership wrangles
16 May 2025
- Magwanga escapes alleged gun attack after death of Kasipul MP