Skip to main content
Skip to main content

Kapu la Biashara | Wakenya wahimizwa kutumia Akili Mnemba kusuluhisha changamoto za maisha

  • | KBC Video
    104 views
    Duration: 3:18
    Wakenya wanahimizwa kutumia Akili Mnemba kusuluhisha changamoto za maisha wanazokumbana nazo. Afisa mkuu wa kampuni ya Microsoft humu nchini Phyllis Migwi amesma Akili Mnemba inaweza kutumiwa kuchanganua deta ambayo itasaidia kuwasilisha huduma kwa jamii zilizotengwa kwa wakati ufaao. Taarifa hii na nyingine ni kwenye kitengo cha Kapu la Biashara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive