Korea Kusini yasisitiza umuhimu wa Afrika katika kukuza sekta ya madini duniani
Takriban makubaliano na mikataba 50 imetiwa saini wakati wa mkutano wa kwanza wa kilele wa Korea Kusini na viongozi kutoka nchi 48 za Afrika, ili kushirikiana katika masuala yanayohusu madini, nishati na utengenezaji wa bidhaa, wizara ya viwanda ya Korea Kusini ilisema Jumatano.
Kampuni ya Korea Kusini ya Hyosung Corp ilitia saini mkataba wa kusambaza transfoma za umeme nchini Msumbiji zenye thamani ya dola milioni 30, wizara ilisema katika taarifa.
#tanzania #Afrika #voa #koreakusini #voaswahili
12 Aug 2025
- Authorities in Taiwan were scrambling on Tuesday to evacuate hundreds ahead of a possible landfall by Typhoon Podul on the island's southeastern coast, while nearby areas battle to recover from floods and record winds brought by previous storms.
12 Aug 2025
- Hundreds of cabin crew members took their fight to major Canadian airports on Monday, picketing against unpaid labor, as talks on wages intensify between Air Canada AC.TO and its flight attendants this week ahead of a possible strike.
12 Aug 2025
- Condemnations poured in from the United Nations, the EU and media rights groups Monday after an Israeli strike killed an Al Jazeera news team in Gaza, as Palestinians mourned the journalists and Israel accused one of them of being a Hamas militant.