- 1,009 views
Maseneta wamekandamiza maafisa wa polisi kwa kutumia nguvu kupita kiasi kudhibiti waandamanaji waliokuwa wanapinga mswada wa fedha wa mwaka huu, matukio yaliyosababisha maafa ya zaidi ya watu 20. Haya yalijiri wakati kiongozi wa wengi seneti Aaron Cheruiyot, aliomba bunge hilo kujadili maswala tofauti ikiwemo matumizi mabaya ya fedha, uhuru wa mahakama, utendakazi wa polisi na hata hali ya ufisadi nchini. Viongozi hao pia wameshutumu tume ya misharaha nchini, SRC kwa kuwa kimya huku wakikubali pendekezo la kupunguzwa kwa mishahara yao. Haya ndio yaliyojiri.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Maseneta wakandamiza polisi kutuma nguvu kupita kiasi kwa waandamanaji waopinga mswada wa fedha
- 30 Jun 2025 - Kathiani Member of Parliament (MP) Robert Mbui has claimed that National Assembly Speaker Moses Wetangula muzzles dissenting legislators from speaking on the floor of the House.
- 30 Jun 2025 - The High Court has ordered Inspector General of police Douglas Kanja to produce blogger Ndiagui Kiangui, who has been missing for 10 days.
- 30 Jun 2025 - Former Police Spokesperson Charles Owino now claims that Boniface Mwangi Kariuki, the hawker who was shot in the head during anti-police brutality protests in Nairobi, insulted the officer who fired the shot.
- 30 Jun 2025 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) says eight individuals have been arrested in connection to the theft several bags of government fertilizer from the National Cereals Produce Board (NCPB) depot in Maua, Meru during the protests held on…
- 30 Jun 2025 - The Chinese use their hard-earned success as reminder to focus on hard work
- 30 Jun 2025 - “But don’t use this as an excuse to go around shooting people," he said.
- 30 Jun 2025 - The stretch is synonymous with traffic snarl-ups.
- 30 Jun 2025 - The protests were a reaction by Gen-Zs to Members of Parliament's way of passing laws and the nuances of callousness they display as the respond to the youths interests and needs.
- 30 Jun 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party National chairperson Gladys Wanga now claims that former Deputy president RigaThi Gachagua has hijacked the Gen Z-led protests to get into power through the backdoor.
- 30 Jun 2025 - The rallies will run for the whole week with numerous whistle-stop engagements in at least ten counties.