- 74 views
Kizazi cha gen z sasa kinataka kikosi cha tume ya IEBC kiwe na uwakala wa kamishna kijana pindi uteuzi utakapofanywa. hii ni baada ya rais William Ruto kuidhinisha kuwa sheria, mswada wa marekebisho ya sheria ya IEBC baada ya kuutia saini. Ingawa ni hatua iliyopigiwa debe na Gen Z walioapa kuandamana endapo serikali haingetimiza shughuli hiyo, vijana wametilia shaka mchakato huo na kuirai serikali ihakikishe kunakuwa na uwazi. Kusukwa upya kwa IEBC kutawapa fursa vijana ya kuwaondoa wabunge ambao hawajawaridhisha katika utendakazi wao.
Kujitokeza kwa Raila kwaibua hisia mseto kwa umma
- - CATCH K24TV LIVE ››
- 14 Jul 2025 - France's first lady has taken her case against two women over claims she used to be a man to the highest appeals court after a lower court let them off, her lawyer said Monday.
- 14 Jul 2025 - Former Lands Minister Amos Kimunya has defended himself against allegations of fraudulent disposal of public property, insisting in court that he acted within the law and in the public interest.
- 14 Jul 2025 - Police in Longisa, Bomet County are holding a 58-year-old school watchman after he allegedly defiled a 4-year-old PP2 pupil within the school premises.
- 14 Jul 2025 - Tension has gripped Likii slum in Nanyuki after police officers blocked protesters from entering Nanyuki town demanding justice for Julia Njoki, who was allegedly tortured by police officers while in custody after the Sabasaba protests.
- 14 Jul 2025 - Njoki died while in custody.
- 14 Jul 2025 - The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) has dismissed reports that it has exonerated the Deputy Inspector General of Police, Eliud Lagat, in the murder of teacher and blogger Albert Ojwang’. In a statement on Monday, July 14, 2025, IPOA,…
- 14 Jul 2025 - The survey aims to resolve challenges affecting the youths.
- 14 Jul 2025 - The goods are alleged to have been stolen from Kombe Kohulo Comprehensive School.
- 14 Jul 2025 - It was the first time RSF fighters had entered the city in large numbers since the siege of el-Fasher began 15 months ago.
- 14 Jul 2025 - IPOA said reports suggesting that the Authority has exonerated Lagat are “misleading.”