Daktari wa watoto aeleza hospitali pekee ya Nasser imeelemewa na wagonjwa
Hospitali Gaza zinakabiliwa na shinikizo kubwa la wagonjwa wengi wanaowapokea na huku huduma zikiwa finyu kutokana na vita.
Daktari wa watoto, Mervat Al-Qatati, alisema Hospitali ya Nasser haiwezi kutoa matibabu kwa idadi kubwa ya wagonjwa watoto ambao wanawapokea.
Kampeni ya Jeshi la Israel imeziweka hospitali nyingi na vituo vingine vya afya kutoweza kutoa huduma, kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), na kusababisha ukosefu mkubwa wa mahitaji ya tiba.
Israel inakanusha kukusudia kulenga vituo vya afya au kuzuia upatikanaji wa mahitaji ya tiba kupelekwa Gaza.
Vita hiyo ilianza Oktoba 7 wakati wapiganaji kutoka Palestina wa kikundi cha wanamgambo wa Hamas walipovamia mpakani na kushambulia jamii mbalimbali huko Israel, ikiuwa watu 1,200 na kuwateka watu 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israeli.
Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000.
Idadi kubwa ya waliojeruhiwa kutokana na vita hivyo imeongeza magonjwa kusambaa na utapiamlo kati ya wakati asilimia 90 wa Gaza ambapo Umoja wa Mataifa unasema wamekoseshwa makazi, na kuweka shinikizo kubwa kwa mifumo ya afya katika eneo hilo finyu.
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
1 Jul 2025
- The deal is the largest military deal signed between the two countries in the last decade.
1 Jul 2025
- The funding is set to unlock tens of thousands of jobs.
1 Jul 2025
- A study has highlighted the devastating effects of Trump's fund cuts.
2 Jul 2025
- Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang'i has weighed in on last year's Gen Z-led demonstrations that saw protesters breach Parliament, citing that the protests would have taken a different trajectory had he been occupying the security docket.
2 Jul 2025
- Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has rubbished claims that he is a political project of former President Uhuru Kenyatta, saying he is yet to align himself with any political party as he continues to consult across the political…
2 Jul 2025
- Police in Ruiru, Kiambu County, have recovered assorted items believed to have been looted from Quickmart Supermarket during the June 25th protests marking one year since the “Occupy Parliament” movement.
1 Jul 2025
- Peter Kinyanjui, whose family claimed he had been abducted by armed people while at his home in Limuru, is currently in police custody.
1 Jul 2025
- Over fifty thousand students who qualified for university and colleges did not apply for placement through the KUCCPS portal.
1 Jul 2025
- Kenya and the United Kingdom have agreed to introduce six additional Kenya Airways flights between Nairobi and London every week in a move which President William Ruto says is aimed at addressing persistent cargo and passenger challenges.
1 Jul 2025
- The Government has successfully concluded the placement of the 2024 Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE) candidates to institutions of higher learning across the Country. Speaking during a media briefing, the Cabinet Secretary (CS) for…
1 Jul 2025
- “You would think a country being led by the army would have army officers all over the streets."
1 Jul 2025
- Matiang’i questioned the meaning of being labelled a “project.”
1 Jul 2025
- President William Ruto and United Kingdom Prime Minister Sir Keir Starmer have signed the renewed 5-year Kenya-UK Strategic Partnership pact that is set to unlock over Ksh.427 billion in investments.