Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa jamii wawataka wakazi kuishi kwa amani Isinya

  • | Citizen TV
    1,254 views
    Duration: 1:46
    Siku moja baada ya makabiliano makali kuzuka baina jamii zinazoishi katika Mji wa Isinya Kaunti ya Kajiado, Viongozi wa Jamii mbali mbali zinazoishi Kajiado Mashariki wametoa wito kwa wakazi wa Isinya Kusitisha uhasama na kuishi kwa Amani.