Skip to main content
Skip to main content

Walemavu wanufaika katika mpango wa kupewa mtaji wa kuendeleza biashara zao

  • | Citizen TV
    252 views
    Duration: 3:16
    Watu Wanaoishi na Ulemavu (PWDs) wamenufaika na mpango wa miaka sita wa kuwawezesha kupanua biashara zao, kuongeza akiba na kuboresha usimamizi wa fedha, uliofanyika katika kaunti saba zikiwemo Meru, Kakamega, Kiambu na Laikipia.