Skip to main content
Skip to main content

Chama cha wasafirishaji mizigo chatia saini mkataba wa ksh.12b

  • | Citizen TV
    300 views
    Duration: 1:36
    Chama cha Wafanyibiashara wa usafirishaji na Maghala nchini ( KIFWA) Kimetia saini mkataba wa makubaliano wa shilingi Bilioni 12 na kampuni moja ya kimataifa kuzindua mfumo mpya ya kielektroniki .