Skip to main content
Skip to main content

Walimu wa JSS Tana River wapinga kauli ya waziri wa elimu Migos Ogamba

  • | Citizen TV
    402 views
    Duration: 2:05
    Walimu chini ya muungano wao wa KUPPET tawi la Tana River, wamepinga vikali agizo la Waziri wa elimu Julius Migos ya kuwa shule za sekondari msingi zitasalia chini ya uongozi wa walimu wakuu wa sasa.