Skip to main content
Skip to main content

Madarasa mabovu katika shule ya msingi ya Kerangi huko Mbeere

  • | Citizen TV
    595 views
    Duration: 1:46
    Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kerangi katika Wadi ya Kiambere, Mbeere Kusini, Embu, wanakabiliwa na hali ngumu ya masomo kutokana na ukosefu wa madarasa salama na ya kudumu.