Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya afya yaongoza msafara wa hamasisho kuhusu afya ya akili Nairobi

  • | Citizen TV
    423 views
    Duration: 1:05
    Taifa la Kenya lilijiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya kimataifa ya afya ya akili duniani huku ikibainika kuwa takriban asilimia 75 ya wakenya wanaopitia changamoto ya afya ya akili hawapati huduma wanazohitaji .